Google imekuwa ikitoa ripoti mbalimbali kuhusu matumizi ya mifumo yake ya Android, mwaka huu Google imetoa ripoti hiyo mpya ambayo inaonyesha kuwa mfumo wa Android Oreo unakuwa kwa kasi ndogo sana kwani mpaka sasa mfumo huo unatumika kwa asilimia 4.6% tu kati ya mifumo yote. Kwa hapa Tanzania na uhakika mambo yatakuwa ni tofauti zaidi […] More
The post Ripoti : Android Oreo Bado Sana Sasa Inatumika kwa Asilimia 4.6% appeared first on Tanzania Tech.