Jumanne, 17 Aprili 2018

Tigo Pesa na M-Pesa Zapata Uthibitisho Kutoka Shirika la GSMA

Tigo Pesa na Mpesa

Wakati matumizi ya simu za mkononi yakiongezeka kwa kasi hapa Tanzania, Huduma za kutuma na kupokea pesa zimekuwa ni nguzo muhimu sana miongoni mwa watanzania. Ni wazi kuwa tukiongelea swala la kutuma na kupokea pesa ni lazima tutazitaja huduma za kutuma na kupokea pesa za Tigo Pesa na M-Pesa kwani huduma hizo zimekua zikiongoza sana […] More

The post Tigo Pesa na M-Pesa Zapata Uthibitisho Kutoka Shirika la GSMA appeared first on Tanzania Tech.