Hivi karibuni wananchi wa nchini Kenya wataanza kunufaika kutokana na ushirikiano mpya kati ya kampuni ya huduma za Simu ya Safaricom na kampuni ya kupokea malipo ya mtandaoni ya PayPal, ushirikiano huo unalenga kuwezesha wananchi wa nchini humo kuweza kutuma na kupokea pesa kutoka huduma ya Safaricom ya M-Pesa kwenda PayPal na Paypal kuja kwenye […] More
The post Safaricom Kuruhusu Kutuma Pesa Kati ya MPesa na Paypal appeared first on Tanzania Tech.