Mark Zuckerberg amekuwa akijiandaa kwa jaribio lake kubwa huku Mkurugenzi mkuu huyo wa Facebook akikabiliwa na maswali kutoka kwa mabaraza yote mawili ya congress. Sasa Angalia hapa wakati Mark Zuckerberg akiojiwa Mubashara kabisa kuhusu Cambridge Analytica ilivyochukua data za watumiaji zaidi ya milioni 50. More
The post Angalia Hapa Mubashara Mark Zuckerberg Akiojiwa na Congress appeared first on Tanzania Tech.