Baada ya Sony kuzindua simu yake mpya ya Sony Xperia XZ2 mapema mwaka huu kwenye mkutano wa MWC 2018, hivi leo kampuni hiyo imerudi tena ikiwa na Simu mpya ya Sony Xperia XZ2 Premium. Simu hii inakuja kama maboresho mapya ikiwa na kioo chenye teknolojia ya 4K pamoja na kamera yenye uwezo mzuri sana wa kupiga picha […] More
The post Sony Yazindua Simu Mpya ya Sony Xperia XZ2 Premium appeared first on Tanzania Tech.