WhatsApp imekuwa ikifanya maboresho mengi sana, moja ya maboresho ya siku za karibuni ni pamoja na sehemu ya (Delete For Everyone), kama wengi wenu mnavyojua sehemu hii inakuwezesha kufuta meseji uliyo ikosea na pale unapofuta meseji hiyo, itafutika hata kwa mtu au watu uliyo watumia meseji hiyo. Sasa mbali na sehemu hiyo, kwa sasa WhatsApp […] More
The post WhatsApp Kuwezesha Kurudisha Picha na Video Zilizofutika appeared first on Tanzania Tech.