Kampuni ya kutoa huduma za simu ya Vodacom Tanzania, hivi leo imetangaza kuingia ubia na kampuni ya iFlix kuwezesha wateja wake kuweza kuangalia filamu kwa haraka kwa kutumia mtandao wa 4G wa Vodacom. Akiongea kwenye mkutano na waandishi wa habari kuhusu ushirikiano huo, mmoja wa wazungumzaji kutoka Vodacom alisema kuwa mtandao wa 4G wa Vodacom […] More
The post Vodacom na iFlix Zaungana Kuwezesha Wateja Kuangalia Filamu appeared first on Tanzania Tech.