Hapo siku ya jana kulizuka habari mpya juu ya alama ⚫ yenye uwezo wa kuharibu au (kucrash) programu ya WhatsApp. Ripoti zinasema kuwa kuharibikwa kwa programu ya WhatsApp kunatokea pale mtu unapo kutumiwa meseji ya WhatsApp yenye alama hii <⚫> na endapo ikitokea umebofya alama hiyo ndani ya meseji uliyo tumiwa, basi programu yako ya WhatsApp itakwama […] More
The post Alama Hii ⚫ Inauwezo wa Kuharibu Programu Yako ya WhatsApp appeared first on Tanzania Tech.