Kwenye historia ya teknolojia ni wazi kuwa iMac ni moja ya kompyuta zilizoleta mabadiliko makubwa ya mtazamo wa teknolojia ya kompyuta kwa miaka iliyopita. Sasa kuliona hilo, siku kama ya jana (tarehe 6 may 1998) miaka ishirini iliyopita, Steve Jobs alizindua kompyuta ya kwanza kabisa ya iMac. Kutoka kipindi hicho hadi kufikia sasa ni wazi […] More
The post Kompyuta za iMac Zafikisha Miaka 20 Toka Kuanzishwa Kwake appeared first on Tanzania Tech.