Habari mpya mtandaoni leo zinasema, mmoja wa waguduzi wa programu ya WhatsApp Jan Koum ametangaza rasmi kuachana na kampuni ya Facebook. Mwanzoni baada ya Facebook kununua programu ya WhatsApp kutoka kwa wagunduzi wake Jan Koum na Brian Acton, wawili hao waliendelea kufanyia kazi programu hiyo wakiwa chini ya kampuni ya Facebook, lakini ilipofikia mwanzoni mwa mwaka huu mmoja […] More
The post Aliye Gundua WhatsApp Atangaza Kuachana na Facebook appeared first on Tanzania Tech.