Jumanne, 1 Mei 2018

Samsung Kuja na Galaxy S9 na S9 Plus za GB 128 na GB 256

Galaxy S9 na S9 Plus

Kampuni ya Samsung imetangaza rasmi kuwa, inatarajia kuzindua simu mpya za Samsung Galaxy S9 pamoja na Galaxy S9 Plus ambazo zitakuwa na ukubwa wa ndani wa GB 128 pamoja na GB 256. Hapo awali simu hizo zilikuwa na machaguo mawili ya ukubwa wa ndani wa GB 64 pamoja na GB 32 Pekee. Kwa mujibu wa […] More

The post Samsung Kuja na Galaxy S9 na S9 Plus za GB 128 na GB 256 appeared first on Tanzania Tech.