Alhamisi, 3 Mei 2018

Dawasco Kutumia Mfumo wa Malipo wa Kielektroniki wa (GePG)

Dawasco GePG

Habari kutoka tovuti ya Lemtuz zinasema, Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO), limesema linatarajia kuokoa takriban Sh.milioni 200 kila mwezi, kutokana na kuanza kutumia mfumo mpya wa kielektroniki wa malipo serikalini (GePG). Mfumo huo umetajwa kulinufaisha shirika hilo kwa sababu utaondoa ulipaji wa tozo za kamisheni ya asilimia 4 kwa kila mihamala […] More

The post Dawasco Kutumia Mfumo wa Malipo wa Kielektroniki wa (GePG) appeared first on Tanzania Tech.