Baada ya kusubiri kwa muda mrefu, sasa the wait is over..! Kampuni ya LG hapo siku ya jana imetambulisha rasmi simu yake mpya ya LG G7 ThinQ. Kama zilivyo simu nyingi za mwaka 2018 simu hii mpya ya LG G7 ThinQ inakuja na kioo cha inch 6.1 pamoja na ukingo wa juu maarufu kama (top notch) bila […] More
The post Kampuni ya LG Yazindua Rasmi Simu Mpya ya LG G7 ThinQ appeared first on Tanzania Tech.