Jumatano, 16 Mei 2018

Hatimaye Nokia Yazindua Simu Mpya ya Nokia X6 (2018)

Sifa na Bei ya Nokia X6 (2018)

Baada ya Tetesi za muda mrefu kuhusu Simu mpya ya Nokia X6 (2018), Hivi leo kampuni ya Nokia kupitia HMD Global imetangaza kuzindua rasmi simu hiyo huko nchini China. Kama tetesi zilivyokuwa zinasema simu hii inakuja na kamera mbili kwa nyuma bila kusahau ukingo wa juu maarufu kama notch. Simu hii pia inakuja na kioo cha […] More

The post Hatimaye Nokia Yazindua Simu Mpya ya Nokia X6 (2018) appeared first on Tanzania Tech.