Ikiwa bado kampuni nyingi za simu zina tengeneza simu zenye ukubwa wa ndani wa GB 16 hadi GB 256, hivi karibuni imekuja simu ya kwanza yenye kubadilisha mtazamo wa kampuni nyingi za Simu hasa kwenye upande wa ukubwa wa ndani. Smartisan R1 hilo ndio jina la simu iliyovunja rekodi mwaka huu 2018 kwa kuwa simu […] More
The post Hii Hapa Simu ya Kwanza Yenye Ukubwa wa Ndani wa GB 1000 appeared first on Tanzania Tech.