Huawei Y3 ni moja kati ya simu zilizo tumika sana hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla, Sasa kuliona hilo kampuni ya Huawei imetangaza kurudi na toleo jipya la simu hiyo ya Huawei Y3 (2018) ambayo sasa itakuja ikiwa inatumia mfumo wa uendeshaji wa Android Go. Kama tunavyojua, mfumo wa Android Go ni maalum kwaajili ya […] More
The post Huawei Imerudi na Simu ya Huawei Y3 (2018) Yenye Android Go appeared first on Tanzania Tech.