Jumatano, 9 Mei 2018

Energizer Power Max P20 Simu Inayodumu na Chaji Siku 31

Energizer Power Max P20

Ni kweli kwamba kwa sasa simu zimekua za aina nyingi sana, pamoja na kuwa na simu hizo zenye sifa na uwezo mbalimbali, bado kunalo tatizo la simu hizo kudumu na chaji. Kuliona hilo sasa inakuja simu ya Energizer Power Max P20, simu hii inauwezo wa kudumu na chaji pengine kuliko simu yoyote ili ambayo tumewahi kuizungumzi […] More

The post Energizer Power Max P20 Simu Inayodumu na Chaji Siku 31 appeared first on Tanzania Tech.