Alhamisi, 10 Mei 2018

Kampuni ya Xiaomi Yazindua Simu Mpya ya Xiaomi Redmi S2

Xiaomi Redmi S2

Kampuni ya Xiaomi hivi karibuni imerudi tena na toleo jipya la simu yake ya Xiaomi Redmi S2, simu hii inakuja na muonekano kama wa simu ya Xiaomi Redmi Note 5 ambayo yenyewe ni maalumu kwa nchini China. Simu ya Xiaomi Redmi S2 yenyewe inaendeshwa na processor ya Snapdragon 625 chipset, CPU ya octa-core yenye uwezo wa 2.0 […] More

The post Kampuni ya Xiaomi Yazindua Simu Mpya ya Xiaomi Redmi S2 appeared first on Tanzania Tech.