Kampuni ya Xiaomi hivi karibuni imerudi tena na toleo jipya la simu yake ya Xiaomi Redmi S2, simu hii inakuja na muonekano kama wa simu ya Xiaomi Redmi Note 5 ambayo yenyewe ni maalumu kwa nchini China. Simu ya Xiaomi Redmi S2 yenyewe inaendeshwa na processor ya Snapdragon 625 chipset, CPU ya octa-core yenye uwezo wa 2.0 […] More
The post Kampuni ya Xiaomi Yazindua Simu Mpya ya Xiaomi Redmi S2 appeared first on Tanzania Tech.