iPhone SE ni simu kutoka kampuni ya Apple ambayo ilizinduliwa mwaka 2016, tokea kipindi hicho hadi sasa kampuni ya Apple haikuwai kutoa toleo jipya la simu hiyo ambayo iliuza nakala nyingi zaidi mwaka 2016 na kufanya mauzo ya simu kutoka Apple kuongezeka kwa asilimia 5.1. Hivi karibuni kumekuwa na tetesi za ujio mpya wa simu […] More
The post Tetesi : Muonekana wa Simu Mpya ya iPhone SE 2 (2018) appeared first on Tanzania Tech.