Satelaiti ya kwanza kabisa iliyotengenezwa na wakenya inataraji kurushwa rasmi siku ya ijumaa ya wiki hii tarehe 11 mwezi wa tano mwaka 2018. Kwa mujibu wa tovuti ya The Star ya nchini Kenya, Kenya ina tarajia kuandika historia hiyo ya kurusha satelaiti hiyo huku tukio hilo likitegemewa kuonyeshwa mubashara na kituo cha televisheni cha KBC. […] More
The post Kenya Kurusha Satelaiti Yake ya Kwanza Tarehe 11 May 2018 appeared first on Tanzania Tech.