Jumatatu, 7 Mei 2018

Mfumo wa GePG Wafanya Maxmalipo Kupunguza Watumishi

Kama ulikuwa ufahamu GePG kirefu chake ni Government e-Payment Gateway, huu ni mfumo wa malipo wa Serikali ambao kwa sasa ndio unaotumika kwa asilimia kubwa kufanya malipo kwenye sekta mbalimbali za malipo ya huduma za umma. Kwa sasa Mfumo huu unatumika kwenye huduma mbalimbali za kilasiku kama vile huduma za kununua umeme wa luku, huduma […] More

The post Mfumo wa GePG Wafanya Maxmalipo Kupunguza Watumishi appeared first on Tanzania Tech.