Habari kutoka tovuti ya gazeti la kila siku la Mwananchi zinasema kuwa, Mabasi 29 ya mradi wa mabasi yaendayo haraka (Udart) yameharibika kutokana na eneo lake la maegesho kujaa maji yanayotokana na mvua zinazoendelea kunyesha hapa jijini Dar es salaam. Maegesho ya mabasi hayo yaliyopo eneo la Jangwani jijini Dar es Salaam hujaa maji kila inaponyesha […] More
The post Hatimaye Udart Kuhamisha Ofisi Zake Kutoka Jangwani appeared first on Tanzania Tech.