Jumatano, 16 Mei 2018

Samsung Hatarini Kupitwa na Tecno Mauzo ya Simu Afrika

Kwa mujibu wa ripoti za utafiti uliofanyika na Canalys, Samsung bado inaongoza kwa mauzo ya simu Afrika kwenye robo ya kwanza ya mwaka huu 2018. Pamoja na Samsung kuongoza kwenye robo hiyo ya kwanza ya mwaka inayo anzia January 1 mpaka March 31, Kampuni za kuuza simu za China nazo zinaonekana kutawala soko la simu kwa nchi […] More

The post Samsung Hatarini Kupitwa na Tecno Mauzo ya Simu Afrika appeared first on Tanzania Tech.