Hivi karibuni Facebook ilipata pengo baada ya mgunduzi wa WhatsApp na aliyekuwa mkurugenzi mtendaji wa WhatsApp Jan Koum kutangaza kuachana na kampuni hiyo, ni wiki chache zimepita na sasa Facebook imesha mpata mkurugenzi mtendaji mwingine kwaajili ya kuiongoza WhatsApp. Mkurugenzi huyo aitwaye Chris Daniels anatokea Internet.org sehemu nyingine inayo milikiwa na kampuni ya Facebook. Sasa baada ya […] More
The post WhatsApp Yatangaza Sehemu Mpya Kwaajili ya Magroup appeared first on Tanzania Tech.