Alhamisi, 17 Mei 2018

Simu ya BlackBerry Motion Yaanza Kupatikana Rasmi Afrika

BlackBerry-Motion-Afrika

Mwanzoni mwa mwaka jana 2017, kampuni ya Blackberry ambayo inaendeshwa na kampuni ya TCL, ilitangaza ujio wa simu yake mpya ya Blackberry Motion, simu hii ilikuja na sifa kadhaa ambazo zinafanana na simu nyingi za Android za mwaka jana lakini pia muonekano wa simu hii ni sawa na muonekano wa simu nyingi za Android za […] More

The post Simu ya BlackBerry Motion Yaanza Kupatikana Rasmi Afrika appeared first on Tanzania Tech.