Hapo Jana kampuni ya kutengeneza simu ya One Plus ya nchini china ilizindua simu yake mpya ya One Plus 6, simu hiyo inasemekana kuwa ndio simu bora zaidi kutoka kampuni hiyo ukizingatia hiyo ndio simu ya saba kuzinduliwa na kampuni ya One Plus tokea kampuni hiyo ilipoanzishwa rasmi na Pete Lau na Carl Pei mwaka […] More
The post Soma Hapa Kujua Bei na Sifa za Simu Mpya ya One Plus 6 appeared first on Tanzania Tech.