Ni kweli kwamba wengi wetu tunatumia smartphone, lakini ni watu wachache sana duniani wenye simu zenye uwezo wa kudumu kwa muda mrefu kwani hata makampuni yanayotengeneza simu hayazipendi simu hizi kwani zinamfanya mtumiaji kubaki na simu moja kwa muda mrefu na hii kufanya mauzo ya simu kupungua. Lakini pamoja na yote hayo bado zipo simu […] More
Soma Zaidi Hapa : Hizi Hapa Simu Ngumu Zaidi Hadi Sasa Mwaka (2018)