Alcatel ni simu ambazo ziliwahi kutumiwa sana hapa Tanzania, hivi karibuni simu hizo zimepotea kidogo hapa Tanzania, lakini sio kwamba simu hizo hazipo sokoni kabisa kwani siku ya jana kampuni ya TCL ambayo sasa ndio inamiliki kampuni ya Alcatel, imezindua simu mpya ya Alcatel 5V simu inayokuja na muonekano mzuri pamoja na ukingo wa juu […] More
Soma Zaidi Hapa : Kampuni ya TCL Yazindua Simu Mpya ya Alcatel 5V