Wakati kukiwa na ongezeko kubwa la huduma za kifedha kupitia simu za mkononi, sio kitu cha kushangaza sana kuona kampuni kubwa zenye uwezo wa kifedha kufikiria kuingia kwenye biashara hiyo ambayo inaonekana kuwa na faida kubwa hapa barani Afrika. Kwa mujibu wa tovuti ya allafrica, Vodacom Tanzania ilipata ongezeko la faida hadi kufikia bilioni 47.6bn mwishoni […] More
Soma Zaidi Hapa : Kampuni Mama ya TECNO Kuja na Huduma ya Pesa ya PalmPay