Habari za kuzusha au habari za uongo kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii ni moja kati ya matatizo ya nchi nyingi sana kwa sasa ikiwemo Tanzania. Sasa ili kupambana na habari hizi, Facebook kupitia app yake ya WhatsApp sasa imeanza kuleta sheria mpya za utumiaji wa programu ya WhatsApp sheria ambazo zitapunguza usambaaji wa habari hizo […] More
Soma Zaidi Hapa : WhatsApp Yaongeza Sheria Mpya Kuzuia Habari za Kuzusha