Kampuni ya Samsung leo inazindua simu yake mpya ya Galaxy Note 9 huko New York nchini marekani. Hapa tunakuleta uzinduzi wa simu hiyo mubashara kabisa kutoka marekani, unaweza kuangalia tamasha la uzinduzi huo hapo chini pia kama unaona kwa namna yoyote uwezi kufuatilia kupitia video unaweza kufuatilia uzinduzi huo kupitia akaunti ya Twitter ya Samsung […] More
Soma Zaidi Hapa : Angalia Mubashara Uzinduzi wa Samsung Galaxy Note 9