Habari kutoka kwenye tovuti ya gazeti la mwananchi zinasema kuwa, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe amesema atakutana na wasaidizi wake akiwamo katibu mkuu wa wizara na mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Mawasiliano Tanzania (TCRA) kujadili kusudio la kusitisha leseni za baadhi ya kampuni zinazotoa huduma ya ving’amuzi. Kamwelwe alisema […] More
Soma Zaidi Hapa : Ufafanuzi Baadhi ya Ving’amuzi Kutonyesha Channel za Ndani