Jumamosi, 11 Agosti 2018

Dalili 10 Zinazoonyesha Simu Yako Imedukuliwa (Hacked)

simu imedukuliwa imekuwa hacked

Kama ulikuwa unadhani kwa sababu uko na simu yako kila mara basi haiwezi kudukuliwa au kuwa hacked basi umekosea, Mara nyingi wadukuaji wamekuwa wakitumia njia mbalimbali kuweza kudukua simu mbalimbali bila hata wewe kujua. Sasa leo hapa Tanzania Tech tumekuandalia dalili 10 ambazo unaweza kuziona endapo simu yako imedukuliwa (imekuwa Hacked) Dalili hizi zitakusaidia wewe […] More

Soma Zaidi Hapa : Dalili 10 Zinazoonyesha Simu Yako Imedukuliwa (Hacked)