Habari kupitia tovuti ya gazeti la mwananchi zinasemakuwa, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe amesema kampuni zinazotoa huduma za ving’amuzi zinapaswa kuwarejeshea fedha wateja wanaotumia ving’amuzi hivyo kutokana na kukiuka masharti ya leseni. Kamwelwe amezitaja kampuni hizo kuwa Azam, Dstv na Zuku na kwamba zimekiuka masharti ya leseni zao. Kampuni hizo ziliondoa chaneli za […] More
Soma Zaidi Hapa : Waliolipia ving’amuzi Azam, Dstv, Zuku Kurejeshewa Fedha