Kampuni ya Nokia inajiandaa kuanza mwaka 2019 kwa namna ya kipekee, kama inavyo tabiriwa mwaka 2019 utakuwa ni mwaka wa simu nyingi kuwa na kamera zaidi ya mbili kwa nyuma. Ndio maana kampuni ya Nokia nayo inajiandaa kuja na simu yake mpya ya Nokia 9, ambayo inasemekana kuja na kamera 5 kwa nyuma. Kwa mujibu […] More
Soma Zaidi Hapa : Jiandae na Nokia 9 Simu ya Kwanza Yenye Kamera (5) Tano