Kampuni ya Huawei hivi leo imetangaza kuanza rasmi kupokea oda za simu yake mpya ya Huawei P Smart (2019) na ifikapo mwezi january mwaka ujao 2019 simu hizo zitaanza kupatikana rasmi. Simu hii inakuja na kioo cha Inch 6.21 kilicho tengenezwa kwa teknolojia ya IPS LCD ambacho pia kinakuja na resolution ya 1080×2340 pixel. Huawei P […] More
Soma Zaidi Hapa : Zifahamu Hapa Sifa na Bei ya Huawei P Smart (2019)