Kampuni maarufu ya kutengeneza simu ya Xiaomi yenye makao yake makuu huko nchini China, hivi karibuni imeanza kujiandaa kuangalia rasmi soko la simu nchini Afrika. Kwa mujibu wa tovuti ya Tech in Asia, Xiaomi inategemea kufungua idara maalum barani afrika, idara ambayo itakuwa inaongozwa na makamu wa raisi wa sasa wa Xiaomi, Manu Kumar Jain. Kampuni […] More
Soma Zaidi Hapa : Kampuni ya Kutengeneza Simu ya Xiaomi Kuja Rasmi Afrika