Kampuni ya Xiaomi ambayo iko mbioni kuja barani Afrika, hivi karibuni imezindua simu yake mpya ya bei rahisi ya Redmi Go, Simu hii inakuja ikiwa na historia ya kuwa simu ya kwanza kabisa kutoka kampuni ya Xiaomi kutumia mfumo wa Android Go. Kwa mujibu wa The Verge, simu hii ya Xiaomi inakuja ikiwa inatumia mfumo […] More
Soma Zaidi Hapa : Xiaomi Yazindua Simu ya Bei Rahisi ya Redmi Go