Huduma za usafirishaji kwa njia ya kidital zinazidi kuja hapa Tanzania, siku za karibuni kumeonekana kuwepo kwa ongezeko kubwa la kampuni nyingi ambazo zimejikita kutoa huduma za usafirishaji wa abiria hasa kwa kutumia app mbalimbali.Sasa hivi karibuni, huduma hizo zinatarajiwa kuongezeka zaidi kwani kampuni mpya ya usafirishaji wa abiria yenye makao yake makuu nchini Kenya […] More
Soma Zaidi Hapa : Kampuni ya Kutoa Huduma za Taxi ‘Little’ Kuja Tanzania