Kama ulikiuwa hujui basi leo ni siku muhimu sana kwetu watumiaji wa mitandao mbalimbali kote duniani kwani, bila siku kama ya leo basi wote tusingekwepo hapa tukijadiliana na kupeana habari na maujanja mbalimbali ya teknolojia. Siku kama ya leo tarehe 12 March ndipo mtandao wa internet au World Wide Web ulipozaliwa. Sasa tukija kwenye upande […] More
Soma Zaidi Hapa : Mtandao wa Internet Wafikisha Miaka 30 Toka Kuanzishwa Kwake