Kampuni ya Samsung imekuwa kimya kidogo lakini ukimya huo unategemewa kuvunjika tarehe 11 mwezi ujao wa sita mwaka huu 2019.Kwa mujibu wa tovuti ya 91mobiles, Samsung inatarajia kuzindua simu mpya ya Galaxy M40, simu ambayo inasemekana kuja na sifa nzuri pamoja na muonekano wa kisasa. Kwa mujibu wa tovuti hiyo simu hiyo inakuja na kioo […] More
Soma Zaidi Hapa : Jiandae na Simu Mpya ya Samsung Galaxy M40 Mwezi June 11