Jumatano, 29 Mei 2019

Mfumo Mpya wa Uendeshaji wa Huawei Mbioni Kuanza Kutumika

Mfumo Mpya wa Uendeshaji wa Huawei Mbioni Kuanza Kutumika

Habari mpya hivi karibuni zinasema kuwa, Kampuni ya Huawei inategemea kuanza kutumia mfumo wake wa uendeshaji ambao utakuwa unafanya kazi kama mfumo wa Android. Kwa mujibu wa ripoti kutoka tovuti ya TechRadar, mfumo huo ambao kwa sasa unajulikana kwa jina la HongMeng, umeanza kufanyiwa kazi na kampuni ya Huawei hata kabla ya kampuni hiyo kufungiwa […] More

Soma Zaidi Hapa : Mfumo Mpya wa Uendeshaji wa Huawei Mbioni Kuanza Kutumika