Kampuni ya Lenovo hivi karibuni imetangaza ujio wa laptop yake ya kwanza ambayo itakuwa ina kioo kinacho jikunja. Kama ilivyo simu ya Galaxy Fold, laptop hii nayo itakuwa ni kioo kitupu ambacho kitakuwa kinajikunja kwa katikati. Laptop hiyo ambayo inatarajiwa kuzinduliwa mwanzoni mwa mwaka 2020, itakuja ikiwa na jina la Lenovo ThinkPad X1. Kwa mujibu […] More
Soma Zaidi Hapa : Lenovo Kuzindua Laptop ya Kwanza Yenye Kioo cha Kujikunja