Kampuni ya Facebook kupitia programu yake ya WhatsApp, hivi karibuni imewataka watumiaji wake kuchukua hatua za haraka kusasisha (update) toleo jipya la programu hiyo kutokana na kugundulika kuwa matoleo yaliyopita ya programu hiyo kuwa na uwezo wa kudukuliwa (Hacked). Kwa mujibu wa tovuti ya The Guardian, WhatsApp imegundua aina hiyo mpya ya udukuaji ambapo serikali […] More
Soma Zaidi Hapa : WhatsApp Yagundulika Kuwa na Uwezo wa Kudukuliwa (Hacked)