Miezi kadhaa iliyopita kulikuwa na habari kuwa kampuni ya simu ya Vodacom Tanzania inajiandaa kuja na huduma mpya ambayo itasaidia wateja wake wa M-Pesa kupata mkopo wa haraka pale wanapokuwa wamepungukiwa fedha wanapofanya miamala kupitia huduma ya M-pesa. Hivi leo hatimaye huduma hiyo imewezeshwa na itakuwa inajulikana kama SONGESHA. YALIYOMOM-Pesa Songesha ni NiniUnajiungaje na SongeshaKupitia […] More
Soma Zaidi Hapa : Vodacom Tanzania Kupitia M-pesa Yaja na Huduma Mpya ya Songesha