Zimebaki wiki chache hadi kuzinduliwa kwa simu mpya ya Samsung Galaxy Note 10, simu ambayo inatarajiwa kuzinduliwa rasmi tarehe 7 ya mwezi wa nane siku ya jumatano huko nchini marekani. Lakini kabla ya simu hiyo kutoka rasmi hivi leo kumevuja picha ambazo inasemekana kuwa ndio muonekano halisi wa Samsung Galaxy Note 10. Kwa mujibu wa […] More
Soma Zaidi Hapa : Muonekano Halisi wa Samsung Galaxy Note 10 na Note 10 Plus