Kampuni ya Inifnix hivi karibuni imezindua simu yake mpya ya Infinix Note 6 uko nchini Uganda, Simu hii ni toleo la Maboresho la simu ya Infinix Note 5 ambayo ilizinduliwa rasmi mwaka jana 2018. Infinix Note 6 inakuja na muundo mpya tofauti na toleo lililopita huku ikiwa na sifa nzuri za kufanya watumiaji kufurahia simu […] More
Soma Zaidi Hapa : Zifahamu kwa Undani Hizi Hapa Sifa na Bei ya Infinix Note 6