Kampuni za kutoa huduma za simu nchini China, hivi leo zimezindua rasmi huduma za mtandao wa 5G na kuanza kuhudumia wateja wake kwa kuwapa vifurushi vya 5G vya gharama nafuu. Kwa mujibu wa tovuti ya south china morning post, kampuni za simu za China Mobile, China Unicom, na China Telecom tayari zimeanza rasmi kutoa huduma […] More
Soma Zaidi Hapa : China Yazindua Rasmi Huduma za Mtandao wa 5G