Baada ya kusubiri kwa muda mrefu, hatimaye sasa watumiaji wa Android wataweza kutumia ulinzi wa alama za vidole au Fingerprint kwenye programu ya WhatsApp. Sehemu hiyo inasaidia kufunga programu hiyo na kuiweka salama, bila kuruhusu mtu yoyote kufungua programu hiyo pamoja na ujumbe wowote unaoingia bila kuweka alama ya kidole. Kwa sasa sehemu hiyo tayari […] More
Soma Zaidi Hapa : Sasa Tumia Ulinzi wa Fingerprint Kwenye WhatsApp (Android)