Alhamisi, 5 Desemba 2019

Sasa ni Lazima Kuandika Tarehe ya Kuzaliwa Ili Kujiunga na Instagram

Sasa ni Lazima Kuandika Tarehe ya Kuzaliwa Ili Kujiunga na Instagram

Hivi karibuni instagram imetangaza kuja na mabadiliko kadhaa, moja ya mabadiliko hayo ni pamoja na sehemu mpya ya tarehe ya kuzaliwa ambayo ni lazima kuijaza ili kujiunga na mtandao huo. Kwa mujibu wa Instagram, kwa sasa kila mtu atakayetaka kujiunga na mtandao huo analazimika kuandika tarehe yake alisi ya kuzaliwa. Kwa mujibu wa blog ya […] More

Soma Zaidi : Sasa ni Lazima Kuandika Tarehe ya Kuzaliwa Ili Kujiunga na Instagram